Tarehe 02/05/2015 Jumamosi ndiyo siku ya Vijana kutembelea kundi la Puna,
hivyo kila kijana anapaswa aandae nauli ya kwenda na kurudi ambayo ni 4000/-
pia usisahau kuja na kipooza njaa ni muhimu sana ili kuweza kufurahia baraka za Bwana
Usipange kukosa ibada hii ya Pekee
Tangazo hili linatoka kwa Uongozi wa Idara ya Vijana-Kigamboni
No comments:
Post a Comment