Sunday, 7 June 2015

Baada ya mazoezi kivulini kwaya imewasilisha ujumbe kwa njia ya wimbo

Sehemu ya wanakwaya wa Kanisa la Waadventista Wasabato Kigamboni wakiwasilisha ujumbe kwa njia ya wimbo katika mahafali ya  Tukasa katika Chuo cha Mwl. Julius Nyerere, leo mchana.

No comments:

Post a Comment