Sunday, 7 June 2015

Hata matching ilikuwepo baada ya kumaliza mahafali ya Tukasa Mwl Nyerere leo

Wanakwaya wa Kanisa la Waadventista Wasabato Kigamboni,wakiongoza matching mara baada ya sherehe za mahafali ya Tukasa, tawi la Chuo cha Mwl Nyerere kumalizika, leo mchana.

No comments:

Post a Comment