Thursday, 2 April 2015
Tangazo kutoka Idara ya Vijana
Idara ya Vijana ilitangaza kutakuwa na mafunzo kwa Vijana kutoka wakufunzi mbalimbali.
Mafunzo hayo yatakuwa yakianza saa 2.00 asubuhi mpaka 9.00 mchana,kumbuka kubeba
kipoza njaa.
Uongozi wa Idara ya Vijana
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment