Thursday, 2 April 2015

Tangazo kutoka Idara ya Vijana

Idara ya Vijana ilitangaza kutakuwa na mafunzo kwa Vijana kutoka wakufunzi mbalimbali.
Mafunzo hayo yatakuwa yakianza  saa 2.00 asubuhi mpaka 9.00 mchana,kumbuka kubeba
kipoza njaa.

Uongozi wa Idara ya Vijana

No comments:

Post a Comment