Habari mpendwa katika Bwana,
Unakumbushwa kwa mara nyingine
tena ile siku yenye mibaraka ya pekee imekaribia ni jumamosi ya tarehe
2/5/15 katika kundi la Puna, andaa kipoza njaa,na nauli uanze kutoa
mapema siku ya maombi Jumatano kwa Mkurugenzi au Katibu wa Idara ili
kupata idadi kamili ya watakaohudhuria siku hiyo.
Barikiwa na uchukue hatua.
Katibu wa Idara ya Vijana-Kigamboni
No comments:
Post a Comment