Monday, 27 April 2015

Habari mpendwa katika Bwana,
Unakumbushwa kwa mara nyingine tena ile siku yenye mibaraka ya pekee imekaribia ni jumamosi ya tarehe 2/5/15 katika kundi la Puna, andaa kipoza njaa,na nauli uanze kutoa mapema siku ya maombi Jumatano kwa Mkurugenzi au Katibu wa Idara ili kupata idadi kamili ya watakaohudhuria siku hiyo.
Barikiwa na uchukue hatua.

Katibu wa Idara ya Vijana-Kigamboni

Thursday, 23 April 2015

tangazo kutoka idara ya vijana

Tarehe 02/05/2015 Jumamosi ndiyo siku ya Vijana kutembelea kundi la Puna,
hivyo kila kijana anapaswa aandae nauli ya kwenda na kurudi ambayo ni 4000/-
pia usisahau kuja na kipooza njaa ni muhimu sana ili kuweza kufurahia baraka za  Bwana
Usipange kukosa ibada hii ya Pekee

Tangazo hili linatoka kwa Uongozi wa Idara ya Vijana-Kigamboni

Thursday, 2 April 2015

Tangazo kutoka Idara ya Vijana

Idara ya Vijana ilitangaza kutakuwa na mafunzo kwa Vijana kutoka wakufunzi mbalimbali.
Mafunzo hayo yatakuwa yakianza  saa 2.00 asubuhi mpaka 9.00 mchana,kumbuka kubeba
kipoza njaa.

Uongozi wa Idara ya Vijana