Habari mpendwa katika Bwana,
Unakumbushwa kwa mara nyingine
tena ile siku yenye mibaraka ya pekee imekaribia ni jumamosi ya tarehe
2/5/15 katika kundi la Puna, andaa kipoza njaa,na nauli uanze kutoa
mapema siku ya maombi Jumatano kwa Mkurugenzi au Katibu wa Idara ili
kupata idadi kamili ya watakaohudhuria siku hiyo.
Barikiwa na uchukue hatua.
Katibu wa Idara ya Vijana-Kigamboni
Monday, 27 April 2015
Thursday, 23 April 2015
tangazo kutoka idara ya vijana
Tarehe 02/05/2015 Jumamosi ndiyo siku ya Vijana kutembelea kundi la Puna,
hivyo kila kijana anapaswa aandae nauli ya kwenda na kurudi ambayo ni 4000/-
pia usisahau kuja na kipooza njaa ni muhimu sana ili kuweza kufurahia baraka za Bwana
Usipange kukosa ibada hii ya Pekee
Tangazo hili linatoka kwa Uongozi wa Idara ya Vijana-Kigamboni
hivyo kila kijana anapaswa aandae nauli ya kwenda na kurudi ambayo ni 4000/-
pia usisahau kuja na kipooza njaa ni muhimu sana ili kuweza kufurahia baraka za Bwana
Usipange kukosa ibada hii ya Pekee
Tangazo hili linatoka kwa Uongozi wa Idara ya Vijana-Kigamboni
Friday, 17 April 2015
Thursday, 2 April 2015
Tangazo kutoka Idara ya Vijana
Idara ya Vijana ilitangaza kutakuwa na mafunzo kwa Vijana kutoka wakufunzi mbalimbali.
Mafunzo hayo yatakuwa yakianza saa 2.00 asubuhi mpaka 9.00 mchana,kumbuka kubeba
kipoza njaa.
Uongozi wa Idara ya Vijana
Mafunzo hayo yatakuwa yakianza saa 2.00 asubuhi mpaka 9.00 mchana,kumbuka kubeba
kipoza njaa.
Uongozi wa Idara ya Vijana
Subscribe to:
Posts (Atom)