Sunday, 7 June 2015
Monday, 27 April 2015
Habari mpendwa katika Bwana,
Unakumbushwa kwa mara nyingine tena ile siku yenye mibaraka ya pekee imekaribia ni jumamosi ya tarehe 2/5/15 katika kundi la Puna, andaa kipoza njaa,na nauli uanze kutoa mapema siku ya maombi Jumatano kwa Mkurugenzi au Katibu wa Idara ili kupata idadi kamili ya watakaohudhuria siku hiyo.
Barikiwa na uchukue hatua.
Katibu wa Idara ya Vijana-Kigamboni
Unakumbushwa kwa mara nyingine tena ile siku yenye mibaraka ya pekee imekaribia ni jumamosi ya tarehe 2/5/15 katika kundi la Puna, andaa kipoza njaa,na nauli uanze kutoa mapema siku ya maombi Jumatano kwa Mkurugenzi au Katibu wa Idara ili kupata idadi kamili ya watakaohudhuria siku hiyo.
Barikiwa na uchukue hatua.
Katibu wa Idara ya Vijana-Kigamboni
Thursday, 23 April 2015
tangazo kutoka idara ya vijana
Tarehe 02/05/2015 Jumamosi ndiyo siku ya Vijana kutembelea kundi la Puna,
hivyo kila kijana anapaswa aandae nauli ya kwenda na kurudi ambayo ni 4000/-
pia usisahau kuja na kipooza njaa ni muhimu sana ili kuweza kufurahia baraka za Bwana
Usipange kukosa ibada hii ya Pekee
Tangazo hili linatoka kwa Uongozi wa Idara ya Vijana-Kigamboni
hivyo kila kijana anapaswa aandae nauli ya kwenda na kurudi ambayo ni 4000/-
pia usisahau kuja na kipooza njaa ni muhimu sana ili kuweza kufurahia baraka za Bwana
Usipange kukosa ibada hii ya Pekee
Tangazo hili linatoka kwa Uongozi wa Idara ya Vijana-Kigamboni
Friday, 17 April 2015
Thursday, 2 April 2015
Tangazo kutoka Idara ya Vijana
Idara ya Vijana ilitangaza kutakuwa na mafunzo kwa Vijana kutoka wakufunzi mbalimbali.
Mafunzo hayo yatakuwa yakianza saa 2.00 asubuhi mpaka 9.00 mchana,kumbuka kubeba
kipoza njaa.
Uongozi wa Idara ya Vijana
Mafunzo hayo yatakuwa yakianza saa 2.00 asubuhi mpaka 9.00 mchana,kumbuka kubeba
kipoza njaa.
Uongozi wa Idara ya Vijana
Tuesday, 31 March 2015
Ujumbe kutoka idara ya Vijana Kigamboni
Habari za Asubuhi
Kutana na Dr. J. Layaa.Sister Ester Muganda na M.G. Mwangi pamoja na wakufunzi wengine wengi katika mafunzo ya vijana kwa Siku ya Jumapili 29/3/15 na 30/03/15,kanisani Kigamboni,
Mada kemkemu zitawasilishwa na kujadiliwa,usipange kukosa ukisoma ujumbe huu hebu mpe habari
njema hii na kijana mwingine. Muda Utajulishwa
Ujumbe huu ni kutoka kwa uongozi wa kanisa Kigamboni
Kutana na Dr. J. Layaa.Sister Ester Muganda na M.G. Mwangi pamoja na wakufunzi wengine wengi katika mafunzo ya vijana kwa Siku ya Jumapili 29/3/15 na 30/03/15,kanisani Kigamboni,
Mada kemkemu zitawasilishwa na kujadiliwa,usipange kukosa ukisoma ujumbe huu hebu mpe habari
njema hii na kijana mwingine. Muda Utajulishwa
Ujumbe huu ni kutoka kwa uongozi wa kanisa Kigamboni
Subscribe to:
Posts (Atom)