Sunday, 7 June 2015

Kwenye Mahafali Tukasa Mwl Nyerere walinyoosha mikono na walisema Amina kwa Wimbo huu wa Kwaya


Hata matching ilikuwepo baada ya kumaliza mahafali ya Tukasa Mwl Nyerere leo

Wanakwaya wa Kanisa la Waadventista Wasabato Kigamboni,wakiongoza matching mara baada ya sherehe za mahafali ya Tukasa, tawi la Chuo cha Mwl Nyerere kumalizika, leo mchana.

Mwisho wa Honeymoon

Mzee wa Kanisa la Waadventista Wasabato Kigamboni Mr Mika akimlisha keki mke wake katika mahafali ya Tukasa, Tawi la Mwl Nyerere, leo mchana, Wote ni waimbaji wa kwaya ya kanisa la Kigamboni

Mama na Mwana

Mama na mwana wakilishana Keki katika mahafali ya Tukasa katika Tawi la Chuo cha Mwl Nyerere, leo mchana. Mama na mwana wote ni waimbaji mahiri katika kwaya ya Waadventista Wasabati Kigamboni

Baada ya mazoezi kivulini kwaya imewasilisha ujumbe kwa njia ya wimbo

Sehemu ya wanakwaya wa Kanisa la Waadventista Wasabato Kigamboni wakiwasilisha ujumbe kwa njia ya wimbo katika mahafali ya  Tukasa katika Chuo cha Mwl. Julius Nyerere, leo mchana.

Mazoezi chini ya kifuli kitulivu

Baadhi ya wanakwaya ya Kanisa la Waadventista Wasabato Kigamboni wakijifua chini ya kivuli kabla ya kutoa ujumbe katika Mahafali ya Wanafunzi wa Chuo cha Mwl Nyerere leo mchana